01 Dec 2020

Je, Bandari ya Mombasa ni mahali salama pa biashara haramu? Tathmini ya udhaifu unaohusiana na uongozi

Utawala duni, ufisadi na ukosefu wa usalama umezalisha mazingira mazuri kwa shughuli haramu katika Bandari ya Mombasa.

Masuala ya uongozi duni yameiweka Bandari ya Mombasa katika msururu mkubwa wa uhalifu ambao umepangwa unaovuka mipaka. Katika mwongo mmoja uliopita, Bandari ya Mombasa inayopatikana mashariki ya pwani ya Afrika imekuwa ikifanyiwa upanuzi na kugeuzwa kuwa ya kisasa, huku mabadiliko haya yakilenga kuboresha utendakazi wake. Lakini udhalilishaji unaofanywa na wanasiasa wanaowajua watu maarufu unaolenga kushawishi maamuzi muhimu ya usimamizi mkuu katika bandari hii inayomilikiwa na serikali umetatiza mabadiliko na kuiwacha bandari hii katika hatari ya kuathiriwa na mitandao ya uhalifu inayotekeleza shughuli zake bila woga.

Kumhusu mwandishi

Deo Gumba, Mratibu wa Uchunguzi wa Uhalifu ambao Umepangwa wa Afrika Mashariki wa ENACT, amefanya utafiti wa sera na kuchapisha masuala mengi yanayohusiana na usalama na uhalifu ambao umepangwa unaovuka mipaka.

Picha ya Jalada © Adobe Stock – Kalyakan.

EU Flag
ENACT is funded by the European Union
ISS Donors
Interpol
Global
ENACT is implemented by the Institute for Security Studies in partnership with
INTERPOL and the Global Initiative against Transnational Organized Crime.